Saidia

Gharama ya kumsomesha mwanafunzi mmoja kwa mwaka katika shule ya msingi ni takriban Ths 900,000 (euro 300); wakati katika chuo kikuu gharama yake ni karibu Tsh 3,000,000 (euro 1000). Tunakaribisha michango ya kiasi chochote kutoka kwa watu binafsi na mashirika ya wafadhili. Kwa sasa, michango inaweza kufanywa kupitia Bank Transfer, baadaye tutaongeza njia nyingine kama Credit Card na PayPal.


Msaada wako kidogo unatosha kuokoa maisha ya mtoto.



  • Jina la Akaunti: Bukoba Catholic Dioese - Orphans Scholarship
  • Namba ya Akaunti: 1950874634800
  • Sarafu: EURO
  • Jina la Benki: CRDB Bank Limited Tanzania
  • Tawi: Bukoba
  • Anwani ya Benki:
          CRDB Bukoba Branch
          P. O. Box 1804
          Bukoba, Tanzania
  • SWIFT CODE: CORUTZTZ

Coming Soon

Coming Soon









Lengo la Shirika

Kusaidia kusomesha yatima maskini na watoto wenye uhitaji jimboni Bukoba ili kuwaandaa kushiriki katika kutatua changamoto za kiuchumi.

Soma zaidi


Saidia

Tunakaribisha msaada wa kifedha kutoka kwa watu binafsi na mashirika, kupitia Bank Transfer, Credit Card na PayPal.


Soma zaidi


Jiunge Nasi

Unakaribishwa kujiunga na Marafiki wa BUCADOS ili usaidie kuchangia na kueneza lengo la BUCADOS ili kuwafikia wafadhili wengi zaidi.

Jiunge


Copyright © 2024 Bukoba Catholic Diocese - All Rights Reserved

Designed by Creative Mind